Posts

DODOMA - kumbukumbu katika picha

Image
NK ulikuwa ni ukumbi maarufu kwa Sinema na Disco miaka ya tisini... TAIZ Restaurant - ilikuwa pale kuu street ikitazamana na jengo la TRA au Bank ya NBC Wimpy - Kiosk maarufu cha juis na chakula, ikipakana na jengo la CDA enzi hizo (kwa sasa Halmashauri ya Jiji), pia ikitazamana na round about ya katikati ya mji  

Welcome Note

Welcome to my blog. Here I will be posting things related to my travels, work, leisure etc .... as I see fit.  Karibu!